Kuanzia
kushoto, Luis Figo, Zinedine Zidane na Ronaldo de Lima enzi hizo
wakicheza Real Madrid - See more at:
http://shaffihdauda.com/?p=3927#sthash.mdYMdq4X.dpuf
Kuanzia
kushoto, Luis Figo, Zinedine Zidane na Ronaldo de Lima enzi hizo
wakicheza Real Madrid - See more at:
http://shaffihdauda.com/?p=3927#sthash.mdYMdq4X.dpuf
Kutoka kulia ni Ronaldo De Lima, Zinedine Zidane na Luis Figo, enzi wakichezea Real MAdrid
Kuanzia
kushoto, Luis Figo, Zinedine Zidane na Ronaldo de Lima enzi hizo
wakicheza Real Madrid - See more at:
http://shaffihdauda.com/?p=3927#sthash.mdYMdq4X.dpuf
Kuanzia
kushoto, Luis Figo, Zinedine Zidane na Ronaldo de Lima enzi hizo
wakicheza Real Madrid - See more at:
http://shaffihdauda.com/?p=3927#sthash.mdYMdq4X.dpuf
MOSHI
timu ya Real Madrid ya nchini Hispania, inatarajia kuwasili mkoani
Kilimanjaro, Agosti 24, mwaka 2014 lengo likiwa ni kutangaza fursa za
utalii zilizopo mkoani Kilimanjaro hususani katika mlima Kilimanjaro.
Akitoa taarifa kwa wanahabari mkoani Kilimanjaro, mkuu wa mkoa wa
Kilimanjaro, Leonidas Gama, alisema ziara ya wachezaji hao itatoa mwanya
kwa wachezaji wengine kuja hapa nchini Tanzania na kuweza kuzitembelea
hifadhi zilizopo hapa nchini.
Alisema uongozi wa mkoa wa Kilimanjaro kwa kushirikiana na wadau wa michezo wamejiandaa vyema katika kuwapokea wachezaji hao, na kuongeza kuwa mkoa umejiandaa vyema katika kuwakarimu wachezaji hao wa Real Madrid.
Gama alisema kuwa licha ya wachezaji hao kuja na kutembelea hifadhi ya mlima Kilimanjaro pia itatoa fursa ya kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo mkoani Kilimanjaro, na kwamba mkoa umeandaa ratiba ambayo itawafikisha hadi kwenye mlima Kilimanjaro na kupata maelezo kuhusu mlima mrefu kuliko yote barani Afrika.
Pia mkuu wa mkoa alisema baada ya kufika eneo la mlima Kilimanjaro, watapata fursa ya kupanda kwa umbali kidogo ili kujionea mandhari ya mlima huo jinsi ulivyo kisha kupata maelezo ya jinsi safari ya kuanza kuupanda mlima huo inavyofanyika.
Aidha alifafanua kuwa uongozi wa mkoa umeuagiza uongozi wa hifadhi ya mlima Kilimanjaro (KINAPA), kuandaa maelezo yatakayowawezesha wachezaji hao kushawishika kurudi tena kama watalii. Kwa mujibu wa ratiba ya ziara ya wachezaji hao baada ya kupanda mlima Kilimanjaro, watapata chakula cha mchana kabla ya kurudi mjini Moshi ambapo wanatarajia kuwa wageni rasmi katika mechi ya kirafiki kati ya mabingwa wa mkoa wa Kilimanjaro Panone FC na timu ya soka ya Machava ya mjini Kilimanjaro.
Alisema uongozi wa mkoa wa Kilimanjaro kwa kushirikiana na wadau wa michezo wamejiandaa vyema katika kuwapokea wachezaji hao, na kuongeza kuwa mkoa umejiandaa vyema katika kuwakarimu wachezaji hao wa Real Madrid.
Gama alisema kuwa licha ya wachezaji hao kuja na kutembelea hifadhi ya mlima Kilimanjaro pia itatoa fursa ya kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo mkoani Kilimanjaro, na kwamba mkoa umeandaa ratiba ambayo itawafikisha hadi kwenye mlima Kilimanjaro na kupata maelezo kuhusu mlima mrefu kuliko yote barani Afrika.
Pia mkuu wa mkoa alisema baada ya kufika eneo la mlima Kilimanjaro, watapata fursa ya kupanda kwa umbali kidogo ili kujionea mandhari ya mlima huo jinsi ulivyo kisha kupata maelezo ya jinsi safari ya kuanza kuupanda mlima huo inavyofanyika.
Aidha alifafanua kuwa uongozi wa mkoa umeuagiza uongozi wa hifadhi ya mlima Kilimanjaro (KINAPA), kuandaa maelezo yatakayowawezesha wachezaji hao kushawishika kurudi tena kama watalii. Kwa mujibu wa ratiba ya ziara ya wachezaji hao baada ya kupanda mlima Kilimanjaro, watapata chakula cha mchana kabla ya kurudi mjini Moshi ambapo wanatarajia kuwa wageni rasmi katika mechi ya kirafiki kati ya mabingwa wa mkoa wa Kilimanjaro Panone FC na timu ya soka ya Machava ya mjini Kilimanjaro.
No comments:
Post a Comment