Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Friday, April 26, 2013

KAULI YA ZITTO KABWE BAADA GODBLESS LEMA KUKAMATWA NA POLISI ...!


BREAKING NEWS: Mbunge wa Arusha Mjini kupitia chama cha Demokrasia ma Maendeleo (CHADEMA) Ndugu "Godbless Lema" usiku wa jana kuamkia leo saa8 amefikishwa Central Police bila kufahamika chanzo...
 Hii inatupa wasiwasi na kubaini kua kuna mchezo nyuma ya pazia unaochezwa na kundi la watu wa chache katika siasa upande wa pili wa upinzani kibaya zaidi ni ma'askari waliovamilia nyumbani kwa mbunge usiku wa jana na kulipua mabomu na wakiwa na silaha kali utadhani wamekwenda kumkamata jambazi au mtu mwenye kesi ya mauaji kitu ambacho sio kizuri. 
#Pole kwa familia ya Godbless Lema.

No comments:

Post a Comment