JESHI la Polisi lina mpango
kabambe wa kusogeza huduma ya ulinzi na usalama karibu na wananchi kwa kujenga
angalau kituo kimoja cha polisi katika kila tarafa kwa upande wa Tanzania bara
na jimbo kwa upande wa Tanzania Zanzibar.
Amefafanua kuwa pindi
fedha zitakapopatikana tarafa zote zitajengwa vituo vya polisi ikiwemo tarafa
ya Isangati.
No comments:
Post a Comment