Banner

Banner

FOLLOW US FACEBOOK

propertyfinder.co.tz

Monday, August 27, 2012

LORI LA MBAO LAANGUKIA GARI DOGO MJINI MOROGORO...!

 

Lori likiwa limeiangukia gari ndogo.


Lori lilivyopinduka kiubavu.

Mashuhuda wa ajali hiyo wakishangaa

LORI aina ya lveco lenye namba za usajili T 223 BSY ambalo lilikuwa likitoka lringa na mzigo wa mbao kueleka jijini Dar es Salaam jana majira ya saa 2 usiku lilipoteza mweleko na kuliangukia gari ndogo aina ya Toyota Cresta lenye namba za usajili T 233 ACY eneo la Area Five jirani na kituo cha Mafuta cha Oil Com, Barabara Kuu ya Morogoro-Dar es Salaam.

Hakuna aliyepoteza maisha katika ajali hiyo.

No comments:

Post a Comment